Idara ya Uhusiano wa Kimataifa, Vyuo na Vyuo Vikuu UVCCM inawataka makatibu wa matawi katika vyuo vya kati na vyuo vikuu vyote nchini kujaza taarifa za msingi kama inavyoelekezwa katika kiunganishi (‘link’) cha fomu hiyo hapa chini.
Kiunganishi/link hapa chini
Jaza fomu sasa
MAMBO YA KUZINGATIA.
1️⃣ Fomu hii ijazwe na Katibu wa tawi Vyuo na Vyuo Vikuu.
2️⃣ Taarifa zilizoainishwa ni muhimu hivyo Makatibu wana wajibu kujaza vizuri.