Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu kwa kushirikiana na Wizara ya Elimu kupitia Mamlaka ya Elimu Tanzania (TEA) imetoa fursa ya ufadhili kwa ajili ya vijana 92 wenye ulemavu kupata mafunzo ya ufundi stadi.
Mahali: Chuo cha Ufundi kwa Watu wenye Ulemavu Sabasaba - Singida.
Kuripoti: 12 Aprili 2023.
Fani zitakazotolewa:
Umri: Miaka 15 - 40.
Aina ya ulemavu: Ulemavu wa aina zote na mwombaji awe na uwezo wa kujihudumia kama kula n.k.
Muda wa Mafunzo: Miezi 3.
Ufadhili Unahusisha:
Mawasiliano:
Wasiliana na uongozi wa chuo kwa ajili ya fomu na taratibu za kujiunga.
Mratibu wa Mafunzo: 0755 261 127.
Mkuu wa Chuo: 0753 032 727.
#JisajiliSasa
#VyuoNaVyuoVikuu
#UkomboziWaFikiraNaHali