SALAMU: MAADHIMISHO MEMA YA MIAKA 58 YA MUUNGANO WA TANGANYIKA NA ZANZIBAR.

Location: DODOMA
Date Posted: Apr 26, 2022
Application deadline: Apr 26, 2022

Mlezi wa Vyuo na Vyuo Vikuu Ndg. Dkt. Frank H. Hawassi anawatakia wanachuo wote Maadhimisho Mema ya Miaka 58 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar.

Tuudumishe na tuulinde Muungano wetu adhimu.



#Muungano

#JisajiliSasa

#VyuoNaVyuoVikuu

#UkomboziWaFikiraNaHali


Download