Mkutano Mkuu wa Seneti Taifa utafanyika tarehe 7 Novemba 2021 jijini Dodoma kuanzia majira ya saa 2:00 asubuhi, Mgeni Rasmi atakuwa Ndg. Frank H. Hawassi,Mlezi wa Vyuo na Vyuo Vikuu CCM. Wajumbe wote mnakaribishwa.

Location: White House Dodoma.
Date Posted: Nov 6, 2021
Application deadline: Nov 7, 2021


Tunawakaribisha viongozi wa Seneti nchini katika Mkutano Mkuu wa Seneti Taifa utakaofanyika Tarehe 7 Novemba 2021 katika Ukumbi wa White House - Makao Makuu ya CCM Dodoma.


Mgeni Rasmi: Dkt. Frank H. Hawassi

                          Mlezi wa Vyuo na Vyuo Vikuu wa Chama ambae pia ni Katibu wa NEC - Uchumi na Fedha.


Download